TraceKwao ni mfumo wa kitaifa wa kidijitali unaolenga kusaidia kutambua, kufuatilia na kuwaunganisha watoto waliopotea na familia zao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
TraceKwao ni mfumo wa kitaifa wa kidijitali unaolenga kusaidia kutambua, kufuatilia na kuwaunganisha watoto waliopotea, waliotelekezwa, waliokimbia nyumbani, waliopatikana bila uangalizi wa wazazi au walezi, pamoja na watu wazima waliopatikana wakiwa hawajulikani.
Mfumo huu unatumia teknolojia ya kisasa pamoja na ushirikiano wa taasisi mbalimbali ili kuhakikisha kuwa kila mtoto au mtu aliyepotea anapata fursa ya kurejea salama kwa familia yake.

Kuwa mfumo wa kitaifa unaoongoza nchini Tanzania katika kulinda watoto na kuwaunganisha kwa haraka, salama na kwa ufanisi watoto waliopotea na familia zao.
Kutumia teknolojia ya kisasa, ushirikiano wa wadau na usimamizi salama wa taarifa katika kurahisisha utoaji wa taarifa, utambuzi, ufuatiliaji na uunganishaji wa watoto waliopotea na familia zao.
Mkurugenzi Mtendaji wa TraceKwao
Katibu Mkuu wa TraceKwao
Kupunguza idadi ya watoto wanaopotea bila kupatikana.
Kuimarisha mfumo wa taifa wa ulinzi wa mtoto.
Kuboresha ushirikiano kati ya taasisi zinazohusika.
Kuharakisha uunganishaji wa watoto na familia zao.
Kujenga na kusimamia kanzidata salama ya kitaifa.
Kuwaunganisha kila mtoto aliyepotea na familia yake kwa salama.
Taarifa za Mawasiliano
Changombe, Temeke, Dar es Salaam
+255 26 232 0000
info@tracekwao.go.tz
Michango inayotufanya tuendelee kusaidia watoto
| S/N | Jina | Kiasi | Tarehe | Hali | Vitendo |
|---|