Jamii ina jukumu kubwa la kulinda watoto dhidi ya ukatili, kupotea na Utelekezaji.
Ulinzi na usalama wa mtoto ni juhudi zote zinazolenga kuhakikisha mtoto analindwa dhidi ya ukatili, unyanyasaji, kutelekezwa, ajali na mazingira hatarishi. Inahusisha wazazi, jamii, serikali na taasisi mbalimbali kufanya kazi kwa pamoja kuhakikisha mtoto anakua katika mazingira salama na yenye upendo.
Child protection and safety refers to all efforts aimed at ensuring children are protected from abuse, neglect, exploitation, and harmful environments. It involves parents, communities, and authorities working together to ensure a safe and supportive environment for every child.
Mfumo wa National Child Reunification System (Tracekwao) unaruhusu wananchi kuripoti mtoto aliyepatikana au aliyepotea ili kusaidia kumrudisha kwa familia yake haraka.
The National Child Reunification System (Tracekwao) allows the public to report found or missing children to help reunite them with their families quickly.